jeudi 9 octobre 2008


JOSE CAMELEONE AVUNJIKA MIGUU BAADA YA KUOTA AKITEMBEA.

Mwanamuzki huyo wa Uganda alikuwa nchini Tanzania kwa mianajili ya tamasha mbalimbali alijurusha toka kwenye ghorofa ya tatu kwenye Hoteli ya Impala mjini Arusha. duru kutoka Arusha zaarifu kuwa mwanamuziki huyo aliingia kupumzika muda mchache akitokea kuendesha Show, na ndipo akaota kuwa yuko anatembea, baadae akaanguka kwenye ghorofa hiyo. baadae alipelekwa haraka Hospitalini. lakini kabla hajaanza kupata matibabu mkewe alikuja na ndege kutoka Kampala hadi kwenye Hospitali hiyo na kumpeleka Uganda kwenye hospitali mojawa kuu nchini hapo ambako anaendelea kupata matibabu.

Aucun commentaire: