jeudi 29 juillet 2010

MKUTANO WA NCHI WANACHAMA WA CEPGL WAANZA MJINI GISENYI

mawaziri wa mambo ya kigeni wa nchi wanachama wa jumuia ya nchi za maziwa makuuCEPGL ambazo ni Rwanda, Burundi, na Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo wanakutana mjini Gisenyi nchi Rwanda tangu alhamis hii Julay 29.2010 kwenye makao makuu ya CEPGL. Mawaziri hao watajadili kuhusu juhudu za kuimarisha shirika la CEPGL. kwenye ajenda ya mkutano watagusia pia kuhusu swala la wanachama kulipia malimbikizo ya michango yo kwenye shirika hilo.

Aucun commentaire: