Noti za magendo 30 za elfu 5 zilikamatwa Bugarama katika mkoa wa Muramvya. Noti hizo zilikamatwa zikiwa na bwana jean Minani aliekamatwa na askari polisi, na kudai kuwa pesa hizo alizipata baada ya kuuza ngombe. Lakini majirani wa mtu huyo wamekanusha kuwa hajawahi kuuza ngombe wala kufuga, na kwamba mtu huyo amekuwa akitowa noti hizo za elfu 5 bandiya ili kununuwa pombe. bwana huyo amewekwa kizuizinii mkoani hapo Murambya.
Viongozi tawala Mkoani hapo Muramvya wamewatolea mwito wananchi kuwa makini sana wanapo pokea noti.
Viongozi tawala Mkoani hapo Muramvya wamewatolea mwito wananchi kuwa makini sana wanapo pokea noti.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire