mardi 18 août 2009

POLISI MKOANI MURAMVYA YAFAULU KUKAMATA NOTI ZA MAGENDO ELFU 30 ZA ELF 5

Noti za magendo 30 za elfu 5 zilikamatwa Bugarama katika mkoa wa Muramvya. Noti hizo zilikamatwa zikiwa na bwana jean Minani aliekamatwa na askari polisi, na kudai kuwa pesa hizo alizipata baada ya kuuza ngombe. Lakini majirani wa mtu huyo wamekanusha kuwa hajawahi kuuza ngombe wala kufuga, na kwamba mtu huyo amekuwa akitowa noti hizo za elfu 5 bandiya ili kununuwa pombe. bwana huyo amewekwa kizuizinii mkoani hapo Murambya.
Viongozi tawala Mkoani hapo Muramvya wamewatolea mwito wananchi kuwa makini sana wanapo pokea noti.

Aucun commentaire: