Wakimbizi Banyamulenge kutoka RDC alhamis hii Agost 13 wameadhimisha mwaka 5 tangu kuuawa kikatili wakimbizi 161 katika kambi ya Gatumba waliko kuwa wamepewa hifadhi , ilikuwa Agosti 13 mwaka wa 2004. Walionusurika katika mauwaji hayo wameitaka serikali ya Bdi na jamii ya kimataifa kufahamisha matokeo ya uchuguzi uliofanyika ili sheria iweze kufuata mkondo wake., amebaini hayo David BaNoGe msemaji ya walionusurika katika mauwaji hayo ya Gatumba. sherehe za kuweka mashada ya mauwa kwenye kaburi la pamoja waliko zikwa wahanga wa mauwaji hayo, zimeanfayika ambapo baadae hutba mbalimbali zilitolewa.
Itakumbukwa kuwa wapiganaji zamani wa FNL walithibitisha kuhusika na mauaji hayo na kusema kwamba walikuwa wakipambana na majeshi ya Burundi, na baadae wakaaza kushambuliwa na makombora kutoka katika kambi hiyo, hivo kujibu, na baadae kukuta kulikuwepo makundi ya wanajeshi waliokuwa na nia ya kuendesha mashambulizi mjini Uvira. Msemaji wa FNL zama hizo Pasteur Habimana alithibitisha hilo na kubaini kuwa kulikuwepo na vifaa vinavyo tumiwa kwa kuunguza majumba aina ya unga, ambavyo vilivyo sababisha watu hao wasiokuwa na hatia kuteketea. Serikali ya Burundio zama hizo ilikanusha madai hayo na kushutumu moja kwa moja makundi ya wa wapiganaji wa Rwanda wa FDLR na Mai Mai kuhusika na mauaji hayo. Miaka 5 sasa imemalizika hakuna ukweli wowote kuhusu mauaji hayo. Jamii ya kimataifa na serikali za Burundi na DRC kwa nini zimesalia kimya ? Nani aulizwe ao nani alaumiwe ?
Itakumbukwa kuwa wapiganaji zamani wa FNL walithibitisha kuhusika na mauaji hayo na kusema kwamba walikuwa wakipambana na majeshi ya Burundi, na baadae wakaaza kushambuliwa na makombora kutoka katika kambi hiyo, hivo kujibu, na baadae kukuta kulikuwepo makundi ya wanajeshi waliokuwa na nia ya kuendesha mashambulizi mjini Uvira. Msemaji wa FNL zama hizo Pasteur Habimana alithibitisha hilo na kubaini kuwa kulikuwepo na vifaa vinavyo tumiwa kwa kuunguza majumba aina ya unga, ambavyo vilivyo sababisha watu hao wasiokuwa na hatia kuteketea. Serikali ya Burundio zama hizo ilikanusha madai hayo na kushutumu moja kwa moja makundi ya wa wapiganaji wa Rwanda wa FDLR na Mai Mai kuhusika na mauaji hayo. Miaka 5 sasa imemalizika hakuna ukweli wowote kuhusu mauaji hayo. Jamii ya kimataifa na serikali za Burundi na DRC kwa nini zimesalia kimya ? Nani aulizwe ao nani alaumiwe ?
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire