
Mkuu wa chama MSD Alexis Sinduhije Jumanne Agosti 18 ameripoti mbelele ya hakimu mkuu wa jamuhuri katika jiji la Bujumbura akitakiwa kutowa ushahidi juu ya matamshi yake kuhusiana na kuwepo na njama ya kuunda kundi la vijana wa kabila la kitutsi lenye lengo la kuwamaliziya maisha baadhi ya watu nchini wakiwemo viongozi, ili baadae wavikwe dhamana wafuasi wa chama MSD. Na kwamba mpango huo umekuwa ukiandaliwa na idara ya upelelezi.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire