lundi 20 avril 2009

SAMAHANI NDUGU WASOMAJI

Tuna tanguliza samahani kwa wapenzi wetu wasomaji wa blog hii kwa habari tulioindika kuhusu kufunguwa mashtaka kwa kiongozi zamani wa uasi nchini DRC Laurent Nkunda ambapo tulisema kuwa ni kiongozi wa kundi la FDLR, tulijidanganya kidogo, Laurent Nkunda hakuwa kiongozi wa FDLR bali alikuwa kiongozi zamani wa kundi la CNDP. natumaikuwa tumesameheka

Aucun commentaire: