Gari ya hospital ya mkoa wa cankuzo imeanguka jana jioni alhamisi 12.2.209 kwenye mtego wa watu wenye silaha tarafani bweru katika mkoa wa mashariki wa Ruyigi. Kulingana na muandishi wa shirika la Burundi la habari sehemu hiyo watu waliokuwa wanavalia sare za kijeshi wamepora fedha inayokadiriwa laki sita na mtambo wa kemikali unaokadiriwa kuwa na thamani ya franka milioni 5.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire