Vyama vya wauguzi na waganga vimetishia kuanzisha tena mgomo kuanzia jumatatu ijayo,.Mkuu wa chama cha madakatari Pierre Claver Hajayandi amesema kwamba mapatano yaliofikiwa kati yao na serikali hayakutekelezwa .Nae mmoja wa wapatanishi kwenye ugomvi kati ya serikali na mashirika hayo ya waganga, Rais wa zamani wa Burundi Sylvestre Ntibantunganya ameahidi kutoa muanga zaidi kuhusiana na mzozo huo jumamosi Februari 14.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire