BUJUMBURA:Wakuu wa mkoa wa Kayanza wamechukua hatua kali za kiusalama katika shule la kipili la Kayanza baada ya kuripotiwa hali ya mtafaruku baina ya wanafunzi ,kukiwa ba chuki za chini kwa chini za kikabila na kisiasa.
Hatua hizo ni pamoja na kupiga marufuku nenda-rudi za wanafunzi,kupokea wageni shuleni hapo aidha kuondoka nje ya shule.Pia matumizi ya simu za mkononi yamepigwa marufuku.
Kwa mujibu wa muandishi wa habari wa radio Burundi mkoani hapo, Gavana na mkuu wa tarafa ya Mkoa wa Kayanza pamoja na wakuu wa usalama walikuwa jumatatu hii shuleni hapo kutuliza nyoyo wanafunzi na kuwaasa kujiepusha na hisia zote za mtengano zinazoweza kutishia usalama wa shule na wanafunzi
Mkoani Gitega nako tunaarifiwa kwamba wakuu wa shule la kipili la Notre Dame de la Sagesse maarufu CND wamechukua hatua ya kuwafuta wanafunzi sita wakituhumiwa kwamba wamekuwa wanawashawishi wanafunzi shuleni hapo wasitumie chakula cha maharagwe ambayo yanadaiwa kwamba sio mazuri.
Hatua hizo ni pamoja na kupiga marufuku nenda-rudi za wanafunzi,kupokea wageni shuleni hapo aidha kuondoka nje ya shule.Pia matumizi ya simu za mkononi yamepigwa marufuku.
Kwa mujibu wa muandishi wa habari wa radio Burundi mkoani hapo, Gavana na mkuu wa tarafa ya Mkoa wa Kayanza pamoja na wakuu wa usalama walikuwa jumatatu hii shuleni hapo kutuliza nyoyo wanafunzi na kuwaasa kujiepusha na hisia zote za mtengano zinazoweza kutishia usalama wa shule na wanafunzi
Mkoani Gitega nako tunaarifiwa kwamba wakuu wa shule la kipili la Notre Dame de la Sagesse maarufu CND wamechukua hatua ya kuwafuta wanafunzi sita wakituhumiwa kwamba wamekuwa wanawashawishi wanafunzi shuleni hapo wasitumie chakula cha maharagwe ambayo yanadaiwa kwamba sio mazuri.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire