BUJUMBURA:Mgomo wa waalimu wa shule za serikali kuisusia kazi leo umeingia katika siku ya pili.Shule nyingi zinazo patikana katika manispaa ya jij la Bujumbura zimefunga milango yake. Baadhi ya shule hata hivo hapa Mjini Bujumbura kama shule la kinama la msingi la kinama ya pili ni waalimu wachache pekee wanaofanya kazi. Hali kadhalika mgomo wa waalimu unatikisa shule za mikoani.Lakini tunaarifiwa kwamba Shule la kipili la mtakatifu Therese mkoani Gitega wanaofanya kazi ni waalimu wa kigeni.
Wakati huo huo Muungano mpya wa vyama vya waalimu katika shule za msingi SEEPBU unasema licha ya kwamba hawakujiunga na mgomo hata hivo wanaungana na madai ya waalimu ya masalia ya fedha katika upangiliaji upya wa vyeo vya waalimu.
Hata hivo mkuu wa chama hicho cha waaalimu SEEPBU Victor Nbabaniwe anasema wanatofautiana na wenzao kuhusu utaratibu wa kudai haki.Anasema inafaa kutumia majadiliano na serikali badala ya kuweka mgomo mbele. Hata hivo ameiomba serikali kuweka kwenye vitendo ahadi za waaalimu.
Wakati huo huo Muungano mpya wa vyama vya waalimu katika shule za msingi SEEPBU unasema licha ya kwamba hawakujiunga na mgomo hata hivo wanaungana na madai ya waalimu ya masalia ya fedha katika upangiliaji upya wa vyeo vya waalimu.
Hata hivo mkuu wa chama hicho cha waaalimu SEEPBU Victor Nbabaniwe anasema wanatofautiana na wenzao kuhusu utaratibu wa kudai haki.Anasema inafaa kutumia majadiliano na serikali badala ya kuweka mgomo mbele. Hata hivo ameiomba serikali kuweka kwenye vitendo ahadi za waaalimu.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire