mercredi 9 septembre 2009

MAZOEZI YA PAMOJA YA KIJESHI YA NCHI ZA JUMUIA YA AFRIKA MASHARIKI YA ZINDULIWA NCHINI TANZANIA

Rais wa Tanzania Jakaya Mrishio kikwete amezindua rasmi mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya nchi za jumiya ya Afrika mashariki huko Monduli, Mkoani Arusha jumanne 8.9.2009 asubuhi. Baadhi ya makamanda waandamizi wa majeshi ya nchi za Afrika Mashariki wanashiriki katika mazoezi hayo ya pamoja kutoka katika kilima cha Nodosoito huko monduli mkoani Arusha. Burundi, Rwanda, Tanzania, Uganda na Kenya ni nchi wanachama wa jumuia hiyo ya Afrika mashariki. Kama unavyo ona kwenye picha ma kamanada wa kijeshi kutoka nchi hizo wakimuonyesha rais Jakaya Mrisho Kikwete sehemu kutako endeshewa mafunzo hayo.

Aucun commentaire: