BIOGRAPHIE
NDUWIMANA Didier A.k.a Sugu Jay Tishio, ni kijana ambae ndoto yake wakati huu inaonekana ku shamiri kiasi fulani, hii ni baada tu ya kufanyakazi yake vizuri na kazi hiyo kupokelewa vema na mashabiki wa muziki nchini Burundi. Sugu Jay Tishio ni kijana wa 4 katika familia ya watoto wa 7. Amezaliwa Octoba 13 mwaka 1985 mjini Bujumbura.
Ni yatima aliwapoteza wazazi wake wapendwa, mama yake tarehe 6/02/2000. Na baba yake 7/08/2001. Shule ya msingi alisoma Ngagara Q3, Vita ilipozuka nchini Burundi alisimamisha, baadae akaendelesha kwenye shule la msingi la barabara ya 8 Buyenzi maharufu jumuia. amakuhusu Secondari, alisoma kwenye shule la kiufundi la Lycée Technique St-luc ambapo alipata shahada ya A2 kwenye kitivo cha fundi waya wa magari ama (electromecanique) ilikuwa mwaka 2005. Muziki alianza toka utotoni kwani anaamini kuwa kipaji mtu huzaliwa nacho.
katika mwaka 1992, alikuwa akirudilia nyimbo zilizopendwa hasa za christophe matata wa nchini Burundi na Wenge Musica kundi ambalo lilikuwa likipga fora nchini Zaire zamani ambayo ni RDCongo kwa sasa. Majirani walimpenda sana hapo ndipo wazazi wake walimjulisha kitu ambacho hawezi sahau, walimueleza kwamba toka angali mdogo sana alikuwa na tabiya yakuomba kila kitu akiimba asa alipokuwa akihisi njaa. Aliendelea kutunga nyimbo zake.
2001 alianzicha kikundi chake (To Be One) ambapo walikuwa wakitumiya Instrumental za inje, waliweza kuuzuria tamasha mbali mbali moja yazo ni shindano liloandaliwa na ASIYA HEMEDI wa RTNB, Ata hivo alikuwa ajaupa mziki muda mwingi kwa mama alikuwa anapenda masomo sana .
2004, ndipo alirekodi nyimbo yake yakwanza (I wanna Live With U) ambayo ili mpa kutambulika kote inchini na kupata mialiko inje na ndani ya nchi akatowa zingine nyimbo.2006, alialikwa kwenye show Kigali, akapabaki myezi 6 ili aitambulishe kazi yake vizuri. Kule alitowa NDABATASHA ikapata tunzo la mziki bora ,shindano liloandiliwa na Radio Flash FM Rwanda, akapta mashabiki wengi rwanda na burundi.
Aliporudi Burundi, wa Kaunda kundi kwajina la OGOPA BAND akiwa na wenzake,Guyrap,s na Mss G Flow.waliweza kuanda show kubwa tarehe 6.12.2006,ila kundi ilo alikuweza kuendelea.
Ndipo compun ya TOP IKOH ikatambuwa kipaji chake ikaamuwa ku msapoti ili waufanye mziki kazi.Ndipo alipoitowa MAISHA KAMA GAME ambayo ikatambulisha ALBUM yake ya nyimbo 10 zifwatazo :
1 .I wonna live with u ft Rick Dogg,Mss G Flow prod Jeremie.
2 .Kama unanipenda prod Jeremie.
3.Maisha kama game prod Ado,Bochum,Alex.
4.Kisa dem ft Fizzo prod Dr Jack F2K Rwanda.
5.Nzirinda prod Ado alpha record.
6.Ndabatasha Remix prod Dr Jack Rwanda.
7.Iwacu ni heza remix prod Dr Jack F2K Rwanda.
8.Amidah ft Dr Cloud prod Dr Jack F2K RWANDA,
9. BORA UNGEACHA Prod Dr Jack F2K Rwanda.
10. Kisa dem Part 2.
Kinyume na nyimbo zake alishirikishwa na wasani wengi inje na ndani ya inchi. Baadhi yazo ni maisha ya ghetto pamoja na Mr. Fanu wa congo Uvira, Inyange na Master SMG wa rwanda, Ili hit sana Kigali, Umenitoka na Public Familly wa Bubanza, Ubudodi na Didier wa Rwanda, Bomba Style na EA Boyz wa Rwanda, Twende beach na OZB wa Bongo. Ono omwana na Cool Man wa kampala.
Aliweza kuhuzuriya Show nyingi (saga plage, la pirogue, muse vivant (Akabirya talent show walo udhuriya wanajuwa ilikuwaje sugu jay alipo paa jukwani) , centre culturel francais, odeon palace) inje ya inchi (ruhengeri, kigali na universty ya butare rwanda) na Uvira. Na pote aliintangaza inchi yake Burundi vizuri.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire