MSEMAJI WA PALIPEHUTU/FNL ATHIBITISHA KWAMBA WANAO MA AFISAWA WA KIJESHI KATIKA KUNDI LAO.
Akizungumza na redio Burundi jumatano hii tarehe 24/9/2008, msemaji wa palipehutu/FNL Pasteur HABIMANA amesema kuwa katika idadi walioitowa ya jeshi lao wanao ma afisa wakuu wa jeshi, ambao hawahitaji mafunzo ya kuwa ma afisa. hayo ni baada ya serikali ya Burundi kutowa taarifa ambamo iliwataka vijana kujiunga na chuo kikuu cha kijeshi ISCAM wakiwemo vijana kutoka kundi hilo la palipehutu/FNL. msemaji huyo wa FNL alisema kuwa majadiliano baina ya seriklai ya Burundi na kundi hilo yaendelea vema licha ya kasoro kadhaa ambazo zimekuwa zikijitokeza. miongonimwa kasoro hizo amesema Pasteur HABIMANA ni kuitwa kwa kundi lao palipehutu/FNL. amezidikuwa haoni pengamizi popote lilipokwa kuwa kila wanapo itishwa katika mikutano aidha kongamano lolote huitwa kama palipehutu FNL, alisema na hata wakati wa mechi baina ya wanajeshi wa Burundi na wapiganaji wa kundi lao waliitwa kuwa wapiganaji wa palipehutu FNL.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire